Wednesday, 26 April 2017

MWENYE DHAMBI HUNA RAHA

Fanya sasa maamzi  ya kuokoka na Bwana Yesu  yupo amekusubiria, anagonga mlango aingie moyoni mwako, mkubalie, usimhuzunishe, mkaribishe, anakupenda, anakubembeleza, anakuhurumia, hadi akakufia msalabani! mhurumie na wewe kama alivyokuhurumia, maana alikuja duniani kwa ajili ya dhambi zako, magonjwa yako, mateso ya kila namna uliyonayo, na pia kukuandaa kwa ajili ya kwenda kuishi naye Mbinguni, mahali pazuri sana alipopaandaa kwa ajili yako na kwa ajili yangu pia (Yoh 3:16,  Mt 11:28 & Ufu 21:1-7); MIMI NINAYE YESU, WEWE JE?

No comments:

Post a Comment